MATOKEO YA CAF AWARD

 MATOKEO TUZO YA GOLI BORA KATIKA MASHINDANO YA CAF CHAMPIONS LEAGUE


Mshambuliaji wa Young Africans, Clement Mzize 🇹🇿 ameshinda tuzo ya goli bora kwenye tuzo za CAF 2025.

Goli lake dhidi ya Tp Mazembe 🇨🇩 limempa tuzo hiyo.

Ingawa hakuweza kuhudhuria kwenye hafla hiyo kutokana na jeraha, Mzize alituma ujumbe wa video wenye shukrani kwa wote waliomuamini na kumsaidia kufikia mafanikio hayo.

#CAFAwards2025

Post a Comment

Previous Post Next Post