CHAGUO JIPYA LA KOCHA WA SIMBA

 πŸš¨ TETESI ZA USAJILI SIMBA SC🦁


Inaeleza kuwa Simba SC inamfuatilia saini ya mshambuliaji wa shekhukhune ya pale nchini Africa Kusini katika dirisha kubwa la usajili! πŸ‡ΏπŸ‡¦ ✈️πŸ‡ΉπŸ‡Ώ


Mshambuliaji huyo mwenye umri wa miaka 22 , anasifika kwa:

• Kasi kubwa akiwa na mpira

• Uwezo wa kupiga chenga na kupenya pembeni

• Kutengeneza nafasi na kutoa pasi za mwisho (assists)

• Kucheza kama Left Winger, lakini pia anaweza kucheza Right Winger na Centre Forward


Je, unadhani atakuwa nyongeza sahihi kwa Simba SC? πŸ€”πŸ‘‡



Comments

Popular posts from this blog